serikali yatoa siku kumi uhakiki wa vyeti feki

Agizo limetoka kwamba watumishi wawasilishe vyeti kabla ya tarehe 31/3/2017

Hii inaweza kuwa mara ya tatu uhakiki inarudiwa.

Hali hii inatokea wakati bwana Bashite akishindwa kuhakikiwa na hakuna Maelezo yoyote

daaa hii ndio Tanzania wacha tuone movie hii itaishaje,

Comments